HTNM BY KIMOLO 10
Help
Mada ya sita ni ipi?
Uhusiano kati ya jamii za Kitanzania na jamii zingine
Uhusiano ulihusisha jamii zipi?
1. Uhusiano baina jamii za Kitanzania 2. uhusiano baina ya jamii za Kitanzania na Mashariki ya Kati, Mashariki ya mbali na Ulaya
Moja ya sababu kubwa ya uhusiano baina ya jamii za Kitanzania ni _____
Ongezeko la uzalishaji mali lililochochea ubadilishanaji wa bidhaa .
Unlock this slideshow and over 4 million more with Baamboozle+
Try slideshows
Your experience on this site will be improved by allowing cookies.
Allow cookies